Language

USAID inafanya kazi kupunguza athari na kuenea kwa janga la UKIMWI kwa ujumla kwa kushirikiana na Serikali ya Tanzania, mashirika mengine ya Serikali ya Marekani, na washirika wengine wa utekelezaji kupitia Mfuko wa Dharura wa Rais wa Marekani wa UKIMWI (PEPFAR).