Language

Mradi wa Boresha Habari wa USAID unasaidia Kuimarisha mazingira yalio wazi, na jumuishi ambapo vyombo vya habari na asasi za kiraia hutoa habari sahihi na zilizokuwa na usawa ambazo zinakuza ushiriki, ujumuishaji, na uwajibikaji. Lengo kuu la mradi huu ni kuwashirikisha na kuwawezesha wanawake na vijana. Lengo ni kuinua sauti zao, ushawishi, na masuala mbalimbali katika nyanja ya umma kama wazalishaji na watumiaji wa habari.