Language

USAID ilianza kusaidia uzazi wa mpango nchini Tanzania mwishoni mwa miaka ya 1980 kwa kuzingatia kuongeza kiwango cha matumizii ya njia za uzazi wa mpango wa kisasa, ikitoa nyenzo muhimu katika kuimarisha mpango wa kitaifa wa Tanzania wa uzazi wa mpango. Mpango wa USAID  wa Uzazi wa mpango  umejumuishwa na huduma zingine za afya na inachangia malengo ya kupunguza vifo vya akina mama na kuboresha maisha ya mtoto.